Mali: Kumi na nane wauawa Diankabou wakati wa operesheni ya kijeshi

Nchini Mali, takriban raia 18 waliuawa katika vijiji kadhaa katika wilaya ya Diankabou siku ya Jumamosi Machi 30. Jeshi kwa ushirikiano na wanamgambo wa kundi la Wagner kutoka Urusi pamoja na wawindaji wa jadi wa Dozo walifanya operesheni ya kijeshi katika wilaya ya Bandiagara, katikati mwa Mali, katika randabauti ya Koro. Mbali na raia waliouawa, mamia ya ng'ombe waliripotiwa kuibwa, jambo ambalo baadhi ya vyanzo vinapingana.

Mali: Kumi na nane wauawa Diankabou wakati wa operesheni ya kijeshi
ONLY AVAILABLE IN PAID PLANS