Afrika Kusini: Baada ya kutengwa kushiriki uchaguzi, rais wa zamani Zuma akata rufaa

Rais wa zamani Jacob Zuma amekata rufaa Jumanne kupinga kuenguliwa kwake kwenye uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa Mei nchini Afrika Kusini, na kuibua mjadala kuhusu kustahiki kwake chini ya miezi miwili kabla ya uchaguzi huo ambao unaonekana kuwa na mvutano.

Afrika Kusini: Baada ya kutengwa kushiriki uchaguzi, rais wa zamani Zuma akata rufaa
ONLY AVAILABLE IN PAID PLANS